Friday, August 19, 2022

NEEMA YA KAWAIDA / COMMON GRACE

Photo by B Smith from the Garden


 


263 - NEEMA YA KAWAIDA 

COMMON GRACE 

November 24, 1963

Pastor Henry F. Kulp




 

 

Waroma 2: 1 – 6 

“Kwa sababu hii, huna uzuru, wewe mtu, mtu gani unayehukumu; kwa maana katika neno hili, unahukumu mwengine, unajihukumu mwenyewe; maana wewe unayehukumu unafanya mambo yale sawasawa. 

Lakini tunajua hukumu ya Mungu ni ya kweli juu yao wanaofanya mambo kama haya. 

Na wewe mtu unazania unayehukumu wale wenye kufanya maneno yale, na unayafanya mwenyewe, ya kama wewe utakimbia hukumu ya Mungu? 

Au unazarau utajiri wa wema wake na saburi na uvumilivu wake, usijue ya kama wema wa Mungu unakupeleka kwa toba? 

Lakini kwa ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, unajiwekea akiba hasira kwa siku ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu, 

Atakayelipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake;” 

         Ningelitamani tuhakikishe kwamba Maandiko ya Waroma 1: 20 inasema kwamba: 

“Kwa sababu maneno yake yasiyoonekana, tangu kuumbwa kwa ulimwengu yanaonekana wazi, yanafahamika kwa kazi zake, hata uwezo wake wa milele na Uungu wake: Wasiwe na uzuru” 

         Kwa kweli kuna wale wasioweza kupewa radhi, wasioweza kuwa na uzuru, wasioweza kupata masamaa. 

Mwenyezi Mungu anasema kwamba mtu hana uzuru, hawezi kusameheka, kwa maana mtu anatazama ushahidi unaoonekana wazi wa Muumba aliye Mungu asiyeonekana. 

Ni kwa hiyo, wakati mtu husema kwamba: “Mungu hayuko, ama hakuna Mungu”, mtu huyu kweli anachanganyikiwa kama mwenye wazimu, na Mwenyezi Mungu asema kwamba mtu huyu hana uzuru. 

Ni ya muhimu kwenu kufahamu yanayo zungumuziwa katika sura ya pili mustari wake wa kwanza, pahali Mungu anaposema kwamba:  

“Kwa sababu hii, huna uzuru, wewe mtu”. 

         Hapo Mwenyezi Mungu anasema kuhusu mtu mbalimbali na yule tuliyeona kwa sura ya kwanza. 

Kwa kweli, kwa sura ya kwanza, Mwenyezi Mungu alitufunulia kwamba wote wamefanya zambi na wote wanakuwa chini ya hukumu ya zambi nzito, bali anatuambia katika maandiko ya Waroma 1: 32 kwamba: 

“hata walijua hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wanaofanya maneno kama haya wanastahili kufa, hawafanyi tu maneno haya, lakini wanakubaliana nao ambao wanayatenda.” 

         Mwenyezi Mungu husema kuhusu wale wanaoshangilia zambi zinazotendwa na wengine. Wakisukuma mbele zambi zinazokuwa katika wengine. 

Tunayo mtu mwenye zambi, anayehakikisha kwamba ni uovu na kukubali kwamba ni hivyo, na anashangilia zambi anazoziona ndani ya wengine. 

Bali kwa sura ya pili, tunayo picha ya mtu mwenye zambi, mwenye kuhukumiwa na zambi hizo, lakini anahukumu wengine. 

Aya hii ya kwanza inatufunulia kwamba hatuna budi kuhukumu wengine.  

 

1/ Jambo la msingi na la manufaa katika aya hii ya kwanza ni neno “kutokuwa na uzuru”. 

Katika sura ya kwanza Mungu anauliza: 

“Eti ninyi hamutazame ulimwengu na vyote vilivyoumbwa?”  

Kama mwatazama, basi ninyi hamuna uzuru, sababu uumbaji na viumbe vyote vinavyoonekana vyanaonesha Mungu asiyeonekana. 

Katika aya hii ya maandiko tunayosoma sasa anauliza:  

Yawezekana umekwisha kuhukumu mtu ama kitu chochote?  

Kwa hiyo, hauna uzuru, sababu hukumu yatoka kwenye zamiri, na zamiri tayari yatambua zambi iliyo ndani ya wengine sababu yajihukumu kwamba kuna hiyo hiyo zambi ndani mwake binafsi. 

Katika siku zilizo pita tulisema ya kwamba zamiri ni matokeo la anguko la mwanadamu, na kwamba zambi unayotambua ni zambi yenye wewe mwenyewe tayari umekwisha kufanya kwa siku zilizo pita, na hapo hitimisho ni kwamba, yeyote mwenye atahukumu kitu chochote ndani ya mwengine, tayari kwa tendo lile anaandika hukumu yake mwenyewe.  


2/ Hakuna yule asemaye kwamba mwenziwe husema uongo, bila lengo la kutaka kuficha mwelekeo wa kufunika ukweli. 

Zamiri yako yakuhukumu kwamba wewe pia unafanya mambo yale yale, na mambo yale ni mbaya, na wakati unagundua mambo yale ndani ya wengine, hata nawe vilevile yanakuhukumu. 

Sasa kwa kutaka kujisafisha na kuyahepuka, unajiweka kuhukumu wengine, kwa nia ya kuondowa zambi hiyo ndani yako.  

 

3/ Hukumu, kukosoa, ama lawama lenye Mwenyezi Mungu anaturuhusu hapa katika Ulimwengu, ni hukumu, kukosoa ama lawama la wenye kutumia Neno la Mungu kwa kuonesha wengine kwamba wangali katika hali ya wenye zambi, kwamba dunia nzima imejaa zambi, siyo kwamba anayekosoa ni mwenye haki, lakini sababu anafahamu ya kwamba katika Biblia imeandikwa kwamba wote wamefanya zambi, na kwamba kuna Jibu ndani ya Bwana Yesu Kristo, anayehesabia haki wote wanaomwamini. 


4/ Waroma 3: 2, 3 

“Kuna faida sana kwa kila njia; kwanza kwa sababu walipewa maneno ya Mungu. 

Ni nini basi, kama wengine hawakuamini? Kutokuamini kwao kutafanyiza uaminifu wa Mungu kuwa bure?” 

         Aya ya kwanza inatukataza kuhukumu ama kukosoa mwengine. 

Kichwa cha aya ya 2: 3 yaweza kuwa: “hakuna uzuru”.

Sababu la muhimu lenye linatulazimisha tuwe tayari kwa kukutana na Mwenyezi Mungu, ni kwamba, yatupasa kukutana na Mwenyezi Mungu. 

Katika jibu mbalimbali ya mahitaji na shuguli nyingi zinazotukumba maishani mwetu, kwa kawaida ya hapa chini duniani, kila mara kuna utaratibu ama kanuni tunayofuata sisi sote. 

Waweza kumuuliza mtu fulani, sababu gani anajielekeza kwa mganga wa meno, eti kwenda kwa mganga wa meno ni jambo la kufurahisha?

Ni kweli kwamba hutajisikia mwenye raha wakati unakwenda kukutana na mganga wa meno?  

Huyo mtu atakujibu: Kwa kweli jambo hili halinifurahishe kamwe, lakini, mimi ninajielekeza kwa mganga wa meno sababu ni lazima niende, sababu ni kwa mafaa yangu. 

Mfano mwengine: 

Mtu fulani anapoteza mpendwa wake na kiisha unamuuliza ndugu yake anayejielekeza kwa shamba la wafu kwa mazishi: 

“Sababu gani unajielekeza kwa shamba ya wafu kuzika mwili wa mtu uliyekuwa unampenda sana?  Je wataka mwili huu ugusane na vitu vyenye vitaharikisha mtengano wa viungo na kuboresha kuoza haraka? Eti, wewe hukuwa unampenda marehemu?” 

Atakujibu: 

Kwa kweli, ndiyo, nilimpenda, kwa nia yangu binafsi singelifanya hivyo, bali yanipasa kuzika huu mwili wa mpendwa wangu, yafaa kuuweka mbali nasi. 

Mfano mwengine: 

Unamzungumuzia mtu mwenye kukumbwa na kuzama sana ndani ya kazi  akirejea mara kwa mara kwa hatuwa fulani ya kazi. 

Unamuuliza, zababu gani unatumia chakula ama kinywaji kwa shida kabisa kama mtu asiyependa? 

Na mtu huyu atakujibu: 

Yaonekana wazi kwamba sina mda kwa kutumia chakula ama kinywaji, lakini ni lazima kwangu kutumia chakula sababu ina mafaa kwa mwili wangu. 

Baadaye unamuuliza mtu anayejielekeza nyumbani kwenda kulala: 

“Sababu gani unajielekeza kwa kitanda? 

Hutambui kwamba kulala ni kupoteza wakati? 

Hakuna hata jambo moja utakalotimiza wakati unapolala, hakuna hata kikoroti cha pesa utakalopata wakati unapo lala.” 

Mtu huyu atakujibu: Ni lazima nijielekeze nyumbani ili mwili wangu upumzike kwa kulala. Ni lazima nilale.

Baadaye unazungumuzia mtu mwenye kujielekeza hospitalini kwa kwenda kupasuliwa: 

Eti wafurahia kwenda hospitalini na kupasuliwa? 

Huyu mtu atakujibu, kwa kweli kwa nia yangu singelikubali, bali kupasuliwa kuna mafaa kwa mwili wangu na hata kwa maisha yangu. 

Vivyo hivyo, mtu anapashwa kujitahidi kuwa tayari kukutana na Mwenyezi Mungu, sababu yamupasa kwenda kukutana na Mwenyezi Mungu. 


5/ Umuhimu ndiwo unaoongoza matendo yetu, umuhimu unatuma sisi kushimama kwa muda na kuwaza kuhusu Mwenyezi Mungu.

Bali, wakati mtu anapozania kuficha zambi zake, kwa kweli anajiziaki mwenyewe. 

Anazania mwenyewe kwamba yuko tayari kukutana na Mungu, lakini kwa kweli sivyo. 

Kila mmoja wetu anajiona katika hali yake isiyomaanisha namna alivyo. 

Je tayari umekwisha kwenda kujifurahisha katika hifadhi ya pumbao, na kuingia katika chumba cha kioo na kujifurahisha kwa kujitazama humo ndani, ukijitazama kwenye vioo mbalimbali: 

Kuna kioo kinacho onesha mtu murefu, na kumuonesha kama mtu mfupi. 

Kioo kingine kinaonesha mtu munene sana na kumuonesha picha yake kama mtu mgonde sana, na kioo kingine kinaonesha mtu mwembamba sana kuwa na picha sawa mtu munene sana. 

Hili ndilo jambo linalotukia wakati mtu anajizania, na hasa wakati mtu anakusudia kufunika zambi zake na kuwa muhukumu anayekosoa wenziwe. 


6/ Ni hayo Mwenyezi Mungu anayosema kuhusu mtu yule asiyeshangilia zambi, wala hasukumi mbele zambi iliyo ndani ya mwengine, bali hujaribu kufunika na kuficha zambi iliyo ndani mwake, na kukosoa watu wengine akifunika zambi zake, Mungu anasema kwamba hakuna yule atakaye hepuka ama kutoroka hukumu. 

Tusisahau: Hakuna uzuru. 

Luka 19: 22 

“Akamwambia: Kwa kinywa chako nitakuhukumu, wewe mtumwa mbaya. 

Ulijua mimi ni mtu mkali, nikiondoa ile nisiyoweka, nikivuna nisiyopanda;” 

         Bwana Yesu Kristo anamwambia mtumwa mbaya, 

Kwa kinywa chako nitakuhukumu.  

Tusisahau kamwe kwamba sawasawa maandiko ya Waroma 2:2 inavyotuambia, hukumu ya Mungu itakuwa ya haki na Mwenyezi Mungu atahukumu kufwatana na masemi ya mtu. 

Waroma 14: 10 

“Lakini wewe, kwa nini unahukumu ndugu yako? 

Na wewe, kwa nini unazarau ndugu yako? 

Kwa sababu sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo.” 

         Hata mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, Mwenyezi Mungu anatuambia kwamba tutatoa hesabu ya masemi yetu, na wao walio katika zambi, wanaoishi zambini, na kufa ndani ya zambi, watahukumiwa sawasawa na yale yaliyotoka vinywani mwao. 

Wao peke watajihukumu kwa siku hiyo ya hukumu. 

Tafsiri ya musemwa wa mwisho wa aya ya tatu ni kama ifwatavyo: 

WEWE HUZANI KWELI KWAMBA UTAHEPUKA? 

(nilibadirisha Je “unawaza” nikilibadili na “Unazani kweli” na kwa kweli nina sababu na sheria kufanya hivyo. 

Katika Kigriki msingi na china la neno kuwaza latoka kwenye Hesabu, na tafsiri lake ni neno: kuhesabu, kujumulisha, kukadirisha ama kuleta nambari. 

Kwa kweli ni neno la hesabu. 

Eti wewe ulikaa ukiwaza na kujaribu kufahamu kama waweza kuhepuka na kukimbia, ama kutoroka hukumu? 

Kwa kweli, wewe huwezi kamwe. 


7/ Tuchunguze kwanza neno “Kutoroka” 

Kuna bahati namna ine kwa mwanadamu kutoroka wakati anavunja sheria ya kibinaadamu, ama sheria za watu: bali hali zote zile haziwezekani kwa mtu mwenye kuvunja sheria ya Mwenyezi Mungu. 

Jameni muniruhusu niwaoneshe, masemi yangu yanamaanisha nini: 

Yawezekana mtu kutenda uhalifu ama maovu bila kuvumbulikana. 

Ya pili, yawezekana jambazi anatenda maovu, ajali yake inajulikana wazi, bali ukorofi unaingia katika mashitaki na mahakama yake na yeye anafikia kutoroka.

Ya tatu, hata kama maovu ya jambazi huyo inajulikana, anashikwa na kuelekezwa mahakamani, bali katika mashitaki na kusamba kunapitikana majadiliano kufikia kiwango cha jambazi huyo kuachiliwa. 

Na kwa mwisho ni kesi ya jambazi anayenaswa, anapelekwa mahakamani, anasambishwa na kutiwa kwenye gereza, bali baadaye anatoroka. 

Bali, kesi hizi zote za kutoroka toka sheria ya wanadamu, haziwezi kamwe kutendeka kwa sheria ya Mwenyezi Mungu.   

 

8/ Katika Zaburi 139: 1 – 10, twasoma: 

“Ee Bwana, umenitafuta na kunijua. 

Unajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu, 

Unafahamu wazo langu toka mbali. 

Unatafuta njia yangu na kulala kwangu, 

Na unajua njia zangu zote. 

Hakuna neno ulimini mwangu 

Ambalo hulijui kabisa, Ee Bwana. 

Umenivizia nyuma na mbele, Ukaniwekea mkono wako. 

Hekima namna hii ni ya ajabu ya kunishinda mimi; Ni juu, siwezi kuifikia. 

Niende wapi mbali na Roho yako? Au nikimbie wapi toka uso wako? 

Nikipanda mbinguni, wewe ni kule; 

Nikifanya kitanda changu katika Hadeze, tazama, wewe ni kule. 

Nikitwaa mawingu ya asubui, Na kukaa pande za mwisho za bahari; 

Hata kule mkono wako utaniongoza, 

Na mkono wako wa kuume utanishika.” 

         Hapa, tunajibu za kesi hizo mbili za kwanza zinazo ambatana na wakati maovu iliyotendwa na jambazi haijulikane. 

Kwa kweli, Mwenyezi Mungu hufahamu yote juu yako. 

Yeye anarikodi mambo yako yote kwa wakati wote. 

Anafahamu neno lililo kwa ulimi wako. Anajuwa yote juu yako. 

 

Baadaye anasema: 

“Niende wapi mbali na Roho yako? Na Nikimbie wapi toka Uso wako?

Nikipanda mbinguni Wewe ni kule: Nikifanya kitanda changu katika Hadeze, tazama, Wewe ni kule.”  

(kwa pande ya upeo wa macho ya Kaskazini, kwa pande ya upeo ya macho ya Kusini). 

Nikitwaa mawingu ya asubui,(kumaanisha wakati jua linapoamka Mashariki)

Na kukaa pande za mwisho za bahari;(kumaanisha Mangaribi) 

Hata kule mkono wako utaniongoza.” 

Hakuna jinsi ya kukimbia Uso wa Mwenyezi Mungu, hakuna namna ya kukimbia mahali pa hukumu yake. 


9/ Kesi ya tatu tuliyofikiri ni kwamba, jambazi anayepashwa kuhukumiwa, alipelekwa mahakamani, wakati wa mashitaki yake, majadiliano yalitokea na yaliokoa mtu yule, ama wanasheria wake walitumia ukorofi fulani. 

Tufahamu kwamba Maandiko yanatuambia katika kitabu cha               

Hesabu 14: 18, kwamba: 

“BWANA ni mpole kwa hasira, mwenye kujaa rehema, akisamehe uovu na kosa, na hakika hataachilia wenye makosa; akipatiliza wana kwa uovu wa baba zao katika kizazi cha tatu na cha ine.” 

         Na hakika hataachilia wenye makosa. 

Kesi ya mwisho ni ya jambazi aliyehukumiwa, kiisha akatoroka toka gereza. Kwa kweli, haiwezekani kutoroka hukumu ya Mwenyezi Mungu. 

Twasoma katika Luka 16 kwamba huyo mtu mwenye mali mengi hakuweza kutoroka.  

Haikuwezekana atoke mahali alipokuwa ili aende kuagiza wandugu zake waliokuwa wangali duniani. 


10/ Katika kitabu cha Waroma 2: 4, twaona ni nini Neema ya Kawaida, 

“Au unazarau utajiri wa wema wake na saburi na uvumilivu wake, usijue ya kama wema wa Mungu unakupeleka kwa toba?

         Neema ya kawaida ni nini? 

Uzao wote wa kibinadamu uko katika zambi na hakuna hata kiumbe kimoja chenye kitamudai Mwenyezi Mungu kitu chochote kile. 

 Baada ya Adam na Awa kuanguka katika zambi, ingelikuwa haki, kama Mwenyezi Mungu angelikusudia kuwashika na kuwatupa ndani ya ziwa la moto. 

Wangelipata malipo ya yale waliostahili.

Bali, Mwenyezi Mungu hakuna mtu anayeweza kumudai kitu. 

Kwa kweli, kwa vizazi na vizazi, Mungu anaendelea kubariki mwanadamu. 

Tuchunguze pamoja kama Neema ya kawaida ni nini? 

Kwa mfano: 

Kwa sasa wewe haumwamini Bwana Yesu Kristo na unaishi na kwa sasa, wewe si ndani ya ziwa la moto ama Jehenama, hii ni Neema ya kawaida. 

Wewe hauko ndani ya Jehenama, unaishi hapa duniani ukiwa na afya nzuri, na katika utajiri. Hii ni neema ya kawaida toka Mwenyezi Mungu. 

Unaishi katika gorofa nzuri, gari yako ni maridadi, jamaa lako ni lakupendeza, unatosheka na vyakula na unazunguukwa na vitu virembo. Hii ni neema ya kawaida toka Mungu. 

Unatoka kazini na unaelekea kwenye makao yako, unapofika nyumbani, watoto wako wenye afya njema wanakuja kukupokea, hii ni neema ya kawaida toka Mungu. 

Wewe unayo uwezo wa kuingiza mkono wako kwenye mfuko na kutowa pesa ndogo ya kumpa mtoto wako kwa shuguli zake, hii ni neema ya kawaida toka Mungu. 

Kuwa na uwezo huu wote wewe pekee, siyo haki yako. 

Unastarehe ukila chakula kitamu, hii ni neema ya kawaida toka Mungu. 

Neema ya kawaida toka Mungu inanyeshe kama nvua ya baraka juu ya watu wasiookoka, wanaishi katika kutosheka na vyote, wakiwa na afya njema, utajiri na uwingi wa vifaa. 

Hii ni matokeo ya wema wa Mwenyezi Mungu, na saburi na uvumilivu. 


11/ Tutambue ya kwamba aya ya ine ni ulizo: 

“Au unazarau utajiri wa wema wake na saburi na uvumilivu wake?” 

Na jibu ni kwamba: Kwa kweli ni hivyo unavyo fanya. 

Asili ya mwanadamu ni kukosa shukrani kwa Mwenyezi Mungu. 

Nikusema; kuzarau, ni kuangalia kitu ukishusha mecho toka juu, kubeula.

Yawezekana mwanadamu kubeula mema ya Mungu akiyaangalia na kushusha mecho toka juu? 

Ndiyo ni namna hiyo mambo yanafanyika.


12/ Mara tena kuna ulizo inayopita katika mafikili yetu: 

Sababu gani Mwenyezi Mungu ni mwema kwa wapotevu? 

Mwenyezi Mungu anasema wazi kwamba kiini cha utajiri wa wema wake na saburi na uvumilivu wake ni ili Mungu akupeleke kwenye toba. 

Kusudi moja ya Mwenyezi Mungu kukukabizi hivyo vifaa vyote, kwa njia ya neema ya kawaida toka kwake, ni ili umukaribiye, uje kwake, umsadiki na kuweka tumaini katika Mwana wake, na umwamini Bwana Yesu Kristo. 


13/ KUTUBU ama TOBA   

Neno lake la msingi la maanisha mabadiriko ya mafikiri, kuambatanisha mabadiliko kamili iliyo kama gundi inayo miliki mwenendo na hali yetu ya njee, namna watu wanavyotusoma. 

Mtu anaacha kujitegemea na kujitizama na anageuza mecho yake kwa Mungu, ndani ya Bwana Yesu Kristo. 


14/ Kwa sababu gani watu wanabaki bila wokovu? 

 Jibu linapatikana kwa aya ya 5, inayosema: 

Lakini kwa ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba. 

Neno la Kigriki lenye kufasiriya neno “ugumu”, neno lile lilitumiwa na waganga kwa kumaanisha ugonjwa wa ugumu ndani ya mishipa, na kweli sote tunakubaliana kwamba ugonjwa wa ugumu ndani ya mishipa waweza kupeleka mtu kuwa  magonjwa sana zaidi, vivyo hivyo, ugumu wa kiroho utakufikisha kwa hali ya ukosefu wa moto rohoni.  


15/ Baadaye anatuambia kwamba watu wale wanajiwekea akiba ya hasira ya Mungu,

Wanakuwa wenye ulafi ya hasira ya Mungu. 

Picha hapa ni mtu mulafi mwenye kujiwekea akiba tele ya hasira, anakusanya aina zote kubwa za hasira, hana budi ya kufahamu ya kwamba anajitayarisha kwa kukutana na Mungu mwenye atamutupa ndani ya ziwa la moto.   

 

16/ Pole pole, toni moja kwa toni lingine unajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile la hasira na ufunuo wa hukumu ya Mungu.

Kila saa na nyakati lenye ulitupilia neema ya Mungu, unajiwekea nyongezo kwa akiba ya hasira ya Mungu, na hii ndiyo kanuni. 

Hukumu ya mtu mwenye hataamini, mtu mwenye hataokolewa itakuwa kwa kadiri alivyoweka hakiba ya hasira ya Mwenyezi Mungu. 

Kwa kadiri alivyozarahu wema na neema ya Mungu, ni kwa kadiri hiyo ndivyo anavyofanya akiba ya hasira. 


17/ Mwatambua kwamba hukumu ya Mungu ni ya kweli na ya haki, na kwa kadiri ya namna ulivyojibu mbele ya neema ya Mungu. 

Kuna kanuni ya tatu ya hukumu, na kanuni hiyo yapatikana katika aya ya sita: 

“atakayelipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.” 

Ufunuo 20: 11, 12 

“Nikaona kiti cha ufalme, kikubwa, cheupe, naye anayeketi juu yake, dunia na mbingu zikakimbia uso wake; na pahali pao hapakuonekana. 

Nikaona wafu, wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya Mungu, na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, kilicho cha uzima; na wafu wakahukumiwa katika mambo haya yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao.” 

         Hapa twapata kiti cheupe kikubwa cha hukumu, mbele yake wafu wenye zambi wanasimama, wakubwa na wadogo wamesimama mbele ya Mungu, tufahamu kweli kwamba vitabu vikafunguliwa, na wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao. 

Kwa kweli, Jehenama itakuwa moto wa kibiriti chenye kuwaka sana kwa yule na zaidi sana kwa yule mwengine.

 Jehenama haitakuwa nafasi ya starehe, mambo hayatakuwa raisi, yatakuwa machungu sana kwa yeye aliyejiachilia kuzama kabisa zambini maishani mwake. 

Bali, tupime kufikiria jambo moja kwa muda kitambo. 

Yaweza kuwa mtu aliyekuwa na maadili safi wakati alipokua akiishi duniani, kufwatana na tabia na mila za watu hapa chini duniani. 

Bali, mtu huyu, alipata saa ya kusikiliza Habari Njema na Mwenyezi Mungu alimubariki kweli na vifaa mbalimbali, bali kwa muda huu wote alizarahu neema ya Mungu iliyo ndani ya Mwokozi Yesu Kristo. 

Atahukumiwa sawasawa na matendo yake kwa kadiri ya wingi wa akiba ya hasira ya Mungu, yeye alijichungia akiba ya wingi wa hasira ya Mungu. 

Wapendwa wapenzi, ninawaomba razi, musijiwekee akiba ya hasira ya Mungu kwa siku hiyo ya hukumu. 

Mwenyezi Mungu alituwekea njia ya kuepuka hasira hiyo. 

Neema yake, Mapendo yake na Masamaa yake ni ya bure na yapatikana ndani ya Mwana wake wa Pekee, Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. 

Yoane 3: 16 

“Kwa maana Mungu alivyopenda ulimwengu, hata kutoa Mwana wake wa pekee, ili kila mtu akimwamini asipotee, lakini apate uzima wa milele.” 

 

AMINA 

 

N°Ref: 11/24/1963/ 263 - COMMON GRACE / 08/19/2022

Thursday, July 14, 2022

RAFIKI KWENYE MIMBARI / A FRIEND ON THE BENCH




 


RAFIKI KWENYE MIMBARI 

A FRIEND ON THE BENCH

May 15, 1977 

Pastor Henry F. Kulp




 

Wakolosayi 1: 16 – 19 

“Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa vilivyo mbinguni na vilivyo duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, ikiwa ni viti vya wafalme au usultani au falme au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake. 

Naye ni mbele ya vitu vyote na ndani yake vitu vyote vinashikamana. 

Naye ni kichwa cha mwili, ulio kanisa; aliye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka katika wafu; ili apate kuwa wa kwanza katika yote. 

Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;”  

         Ndani ya Maandiko haya, Mtume Paulo anaonesha kwamba Kristo ndiye Bwana wa vyote vilivyoumbwa. Kristo ndiye Bwana wa uumbaji. 

Katika uwepo wa uumbaji, Kristo hana mpinzani. 

YEYE NI KIONGOZI JUU YA YOTE ULIMWENGUNI. 

Tufahamu kwa makini neno inayosemwa kwa mwisho wa aya ya 16:

VITU VYOTE, viliumbwa kwa ajili yake na kwa njia yake.  

Kwa kweli tungaliweza kuyasoma kama ifwatavyo: 

YOTE YANAYOKUWA NA KUONEKANA, yaliumbwa naye na pia yaliumbwa kwa ajili yake. 

Ni aina ya sarufi ya asili ya neno Dee- a na hii inamaanisha kupitia yeye. 

Kwa hiyo, pahali pa kutumia “kwa yeye” ICE inachochea kabisa, na ingelitafsiriwa kuwa: “kwa matumizi yake” sawasawa na mapenzi yake. 

Hii inatuonesha namna gani yeye ni wa kwanza katika yote ulimwenguni.  

Popote pale unapokwenda, waweza kuweka muhuri isemao: “Iliumbwa na Kristo, kwa ajili ya matumizi yake na mapenzi yake.”  


1/ Namna unavyotumia mazingira, arzi na vitu vilivyo kando kando yako ni muhimu sana. 

Eti, wewe watumia vitu vilivyo ulimwenguni kwa utukufu wa Bwana, kwa utukufu wako binafsi, utukufu wa mtu fulani, ama wa mtu mwengine? 


2/ Aya ya 17, inasema: 

“Naye ni mbele ya vitu vyote.” 

Kwa kweli, kwa luga ya Kigriki, jambo hili lingelitafsiriwa kama ifwatavyo: 

NA DAIMA YEYE NI MBELE YA VITU VYOTE. 

Ni nini vitu vyote? Vitu vyote vilivyoumbwa. 

Yeye ni mbele ya viumbe vyote. 

Hii inamaanisha umilele wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni mbele ya vitu vyote. Yeye ni wa milele. 


3/ Kiisha tunasoma: 

“Na ndani yake vitu vyote vinashikamana.” 

Neno “kushikamana” inayokuwa SOON – AS – STAME inayomaanisha kuambatanishwa na kushikwa pamoja, kuendelea katika hali hiyo hiyo, inayokuwa kinyume ya Kuh – Teed – Zoe inayokuwa tendo linalomaanisha kuumba. 

Bali, hapo haimaanishe kuumba, bali kulinda siyo kuumba. 

Kwa kumaanisha kwamba ni yeye anayeumba, anayelinda pia. 

Ni kusema kwamba Yesu Kristo anashika dunia nzima katika kuambatana kikamilifu. 

Ni yeye anayefanya vitu vya mbinguni viwe kama vilivyo, na ni yeye anayevilinda visijikwae katika mzunguuko wao na viwe kwa mahali vinavyopatikana sasa. 

KUSHIKAMANA inamaanisha kuendelea kuwa. 


4/ Tunapashwa kufahamu kwamba Yesu Kristo ni Nafsi katika Utatu Mtakatifu anaye linda ulimwengu na katika Yeye ulimwengu wote unashikamana. 

Tukumbuke kwamba wakati alipokuwa mtoto mchanga katika sanduku ya kulisha ngombe, Yeye daima alikuwa Mungu, ulimwengu wote ukishikamana pamoja katika Yeye. 

Wakati alipokuwa akitundikwa kwa msalaba, daima alikuwa Mungu, ulimwengu wote ukishikamana pamoja katika Yeye. 

Ni Yeye anayelinda na kushika yote. 

Ingawaje watu wanaweza kutaja Jina lake bure, kukana Umungu wake, bali kila saa na dakika uzima wao unashikwa naye. 


5/ Sheria zenye wanadamu wanazania kuwa sheria za kisayansi, kwa kweli siyo za kisayansi. 

Sheria hizo ni za Kimungu, siyo za kisayansi. 

Sayansi haina jinsi ya kuziamuria kawaida na namna ya kutawala. 

Sayansi haiweze kuakikisha kwamba sheria hizo zitaendelea kuwa kama zilivyo kwa siku ya leo. 

Haina hata budi ya kusema lini litakalokuwa kwa siku za usoni. 

Waebrania 1: 3 

“Yeye akiwa kungaa kwa utukufu wake, na chapa ya nafsi yake mwenyewe, akichukua vitu vyote kwa Neno la uwezo wake, akikwisha kufanya katika yeye utakaso wa zambi zetu, aliketi mkono wa kuume wa Mwenye Ukuu;” 

         Waraka wa Waebrania watuambia kwamba: 

KWA NENO LA UWEZO WAKE YESU KRISTO ANASHIKA NA KUAMBATANISHA ULIMWENGU WOTE PAMOJA. 

Yamaanisha kwamba ni Yesu Kristo anayeleta harabuni kwa sheria hizo. 

Kwa kweli, hii ni kwa wakati wa sasa. 

Kwa sasa, sheria hizi zinatumika sawa kawaida kufuatana na uaminifu wa Bwana Yesu Kristo. Kwa hiyo, katika neno imani, twaona imani ilivo sawa na mawazo ya kibinafsi. 

2 Timoteo 2: 12 

“Kama tukivumilia, tutamiliki pamoja naye: Kama tukimkana yeye, yeye atatukana sisi vilevile.” 

         Yesu Kristo ni Mwaminifu. 

Waroma 3: 3 

“Ni nini basi, kama wengine hawakuamini? Kutokuamini kwao kutafanyiza uaminifu wa Mungu kuwa bure?” 

         Eti ni jambo gani kama wengine hawakuamini? 

Eti, kutukuamini kwao kutafanyiza uaminifu wa Mungu kuwa bure? 

Kwa kweli, hapana hata kidogo. 

Sawa vile jua litaamka asubui mapema, vivyo hivyo dunia itaendelea kuwa jinsi ilivyo, na hii inamaanisha ya kuwa uaminifu wa Mwenyezi Mungu hautabadirishwa kamwe na wasioamini.

Tusome tena katika kitabu cha 2 Timoteo 2: 13 

“kama sisi hatuamini, yeye anakaa mwaminifu; maana hawezi kujikana mwenyewe.” 


6/ Hatavile sayansi yaweza kusema: Tunafahamu kwamba sheria hizo ni kamilifu na zitatumikishwa kwa miaka na miaka, hata hivyo hawasemi kweli, hawana sheria sababu kwa gafla mabadiriko yanaweza kutukia.  


7/ 2 Petro 3: 10 – 12 

“Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi; katika siku hii mbingu zitatoweka na sauti kubwa, na viumbe vya asili vitayeyushwa kwa moto mkali, na inchi na kazi zilizo ndani yake zitateketezwa. 

Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitayeyushwa hivi, ingewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utawa, 

Mukitazamia na kutaka sana, kuja kwa siku ya Mungu, kwa sababu yake, mbingu zikiungua, zitayeyushwa, na viumbe vya asili vitayeyuka kwa moto mkali?” 

         Jameni, ningelipashwa kusema: 

Kama haingelikuwa uaminifu wa Bwana Yesu Kristo kushika vitu vyote hivi kushikamana pamoja, ulimwengu wote ungelipambazuka na kugawanyika na kusagika kama mavumbi na kupeperuka. 

Uaminifu wake unaendelea daima hata kwa punje ya dakika chache. 

Haingelikuwa uaminifu wa Bwana Yesu Kristo, Miradi yetu ya utafiti na  kwenda angani kufika kwenye mwezi na kuendelea, miradi hiyo haingeli wezekana.

Katika ulimwengu huu, kama haingalikuwa Bwana Yesu Kristo na uaminifu wake, haingeliwezekana kutuma ndege ya kusafiri kati anga na kufika kwa mwezi na kuruhusu mtu aweke mguu wake kwenye mwezi. 

Watu wa sayansi, walitumia tu kwa makini sana sheria za kimungu, zilizo shimikwa na Mwenyezi Mungu, na kufikia kiwango cha kutuma mtu kukanyaga juu ya mwezi. 

Hatungeliweza kufanya ujumbe wa utafiti kwa sayari za kidunia, kama sayari Marci na Venuchi, kama haingelikuwa Bwana Yesu Kristo na Uaminifu wake katika sheria za Kimungu. 


8/ Ni kusema kwamba, na twasema haya na heshima na pongezi yote kwa Bwana Yesu, kwamba Bwana Yesu ndiye Gundi inayo gandisha ulimwengu wote kushikamana na kubanana pamoja. 


9/ Bila shaka siku inakuja yenye ulimwengu haitakuwako tena. 

Yesu Kristo ataiachilia, na ataifanya isishikamane tena pamoja. 

2 Petro 3: 10, 11 

“Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi; katika siku hii mbingu zitatoweka na sauti kubwa, na viumbe vya asili vitayeyushwa kwa moto mkali, na inchi na kazi zilizo ndani yake zitateketezwa. 

Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitayeyushwa hivi, ingewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utawa, 

Mukitazamia na kutaka sana, kuja kwa siku ya Mungu, kwa sababu yake, mbingu zikiungua, zitayeyushwa, na viumbe vya asili vitayeyuka kwa moto mkali?” 

         Kwa aya ya 11 anasema: 

Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitayeyushwa hivi. 

Neno “kuyeyushwa” ni ya manufaa nyingi katika Kigriki.  

  

Neno hili linatumikishwa ndani ya kitabu cha Luka 3: 16 

“Yoane akajibu akiwaambia wote: 

Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji, lakini mmoja anakuja, mwenye uhodari kuliko mimi, sistahili kufungua kamba ya viatu vyake; Yeye atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu, na kwa moto.” 

         Yoane Mbatizaji alisema hapa kwamba: 

Yeye aliye mwenye uhodari kuliko mimi, hata sistahili kufungua kamba ya viatu vyake. 

“Kufungua”, alitumia msemwa “kufungua kiato”, ni picha hili twapasha kuweka kwa ulimwengu, utakuwa wenye kufunguliwa, usiojikusanya pamoja. 

Dunia itakuwa yenye kufunguliwa. 


10/ Sisi watu wa siku za leo tunafahamu nini inayotukia kama chembe ndogo la maumbile linagawanywa, kama atomu inagawanyika. 

Jambo ambalo linatukia kama atomu haishikamane pamoja, inagawanywa na kuvunjwa. 

Kweli, umbalimbali na watu walioishi mbele yetu, sisi watu wa siku za leo,  kufwatana na mifano kazaa, tunayo urahisi wa kusikia kwa makini sura hii na hata Waraka wa Wakolosayi sura ya kwanza. 

Karne yetu inaitwa “Karne ya anga” 

Sisi tunafahamu kwamba bomu la atomu ni matokeo ya kugawanywa kwa atomu. 

Bomu la atomu linakuwa na mungurumo na mulipuko kubwa sana, tunakumbuka yaliyo pita huko Hiroshima na Nagasaki na hiyo ni picha tu ndogo ya majira yenye yatatukia katika 2 Petro 3: 10 – 11, wakati Mwenyezi Mungu atafungua ulimwengu. 

Tusome tena yanayoandikwa katika Kitabu cha : 

Ufunuo 21: 1 

“Nikaona mbingu mpya na dunia mpya; kwa maana mbingu za kwanza na dunia ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana habari tena.” 

Bomu la atomu. 

Isaya 66: 22 

“Kama vile mbingu mpya na inchi mpya, ambazo nitazifanya zitabaki  mbele yangu, Bwana anasema, ndivyo uzao wenu na jina lenu litabaki.” 


11/ Musihofu hata munavyosikia kwamba kuna yule mwenye kuwa na kifungo ndogo cha amri kwenye anaweza kufinya na kuunguza na kuharibu na kubomoa dunia mara moja, iwe Mosku, iwe Washingtoni, hakuna kati yao mwenye uwezo wa kuharibu dunia. Siyo wao watakaoharibu dunia. 

Ni Bwana Yesu Kristo Mwenyewe anaye ile uwezo, ni Yeye atakayearibu dunia. 

Hakuna yule atakayeanzisha vita vya kutumia ma bomu ya atomu kama dunia nzima haijapokea Injili, Habari Njema. 

Aya ya 17 - 18 

“Naye ni mbele ya vitu vyote na ndani yake vitu vyote vinashikamana.

Naye ni kichwa cha mwili, ulio kanisa; aliye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka katika wafu; ili apate kuwa wa kwanza katika yote.” 

         Kichwa cha Mwili, Mwili mmoja. 

Wakwanza aliyefufuka toka wafu. 

Yeye ni Kichwa cha Mwili, Kanisa.

Yeye si kichwa hapa duniani, lakini Kichwa katika pahali pa Mbingu. 

Matendo 7: 8 

“Yeye ndiye aliyekuwa katika kanisa jangwani pamoja na yule malaika aliyesema naye katika mlima Sinai, tena pamoja na baba zetu; ndiye aliyepokea maneno ya uzima atupe sisi.” 

Waebrania 2: 12 

“akisema: Nitahubiri jina lako kwa ndugu zangu; 

Katikati ya kanisa nitakuimbia sifa.” 

Zaburi 22: 22

“Nitahubiri jina lako kwa ndugu zangu; 

Katikati ya kusanyiko nitakusifu.” 

1 Timoteo 3: 15 – 16 

“lakini kama nikikawia, upate kujua sana namna inavyokupasa kutenda katika nyumba ya Mungu, iliyo kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. 

Na pasipo shaka, siri ya utawa ni kubwa: 

Mungu alionekana katika mwili, 

Alihesabiwa kuwa na haki katika Roho, 

Alionekana na malaika, 

Aliubiriwa katika mataifa, 

Aliaminiwa katika ulimwengu, 

Alipokewa katika utukufu.”   

  

Yeremia 32: 37 – 38 

“Tazama, nitawakusanya, na kuwatoa katika inchi zote ambazo niliwafukuza, katika hasira yangu, na uchungu wangu, na gazabu yangu nyingi; nami nitawaleta tena hata pahali hapa, nami nitawakalisha salama; 

Nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.” 

Waebrania 10: 7 

“Halafu nilisema: Tazama, nimekuja(katika gombo la kitabu nimeandikiwa)

Nifanye mapenzi yako, Mungu.” 

 

AMINA.    

 

N°Ref: 05/15/1977/ 353-1 - A FRIEND ON THE BENCH / 07/14/2022 

Thursday, June 30, 2022

HATARI NDANI YA KANISA / DANGER IN THE CHURCH



 


HATARI NDANI YA KANISA

239 - DANGER IN THE CHURCH 

January 21, 1962

Pastor Henry F. Kulp



 

1 Timoteo 1: 1 – 11

“Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa agizo la Mungu Mwokozi wetu na la Kristo Yesu taraja letu; kwa Timoteo, mwana wangu wa kweli, katika imani: Neema, na rehema, na salama, kutoka kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.

Kama vile nilivyokusihi kukaa katika Efeso, wakati nilipokwenda Makedonia, uwakataze wengine wasifundishe mafundisho ya namna nyingine, wala wasiangalie hadizi na maneno ya vizazi pasipo mwisho, yanayoleta mabishano wala si kama kanuni ya Mungu iliyo katika imani; basi sasa ufanye vile.

Lakini kutimia kwa agizo ni mapendo kutoka kwa moyo safi na zamiri njema, na imani pasipo udanganyifu.

Wengine wakikosa kwa maneno haya wamegeuka kwa maneno bure ya kusemasema; Wakitaka kuwa walimu wa sheria, wasiofahamu ambayo wanayasema, wala maneno yale ambayo wanayasimamia na nguvu.

Lakini tunajua sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia ya sheria,

Na tukifahamu neno hili, ya kama sheria haifanywi kwa mtu wa haki, lakini kwa mwenye kuvunja sheria na waasi, na kwa wasioogopa Mungu na kwa wenye zambi, na wachafu na wasiomcha Mungu, na kwa wenye kupiga baba zao na kupiga mama zao, na wauaji, na washerati, na wafiraji, na wenye kuiba watu, na wawongo, na wenye kuapa uwongo, na kama neno lingine lisilopatana na mafundisho yenye uzima;

Kama vile ilivyosemwa katika Habari Njema ya utukufu wa Mungu Mbarikiwa, niliyowekewa akiba.”

Mtume Paulo alimuweka na kumusihi Timoteo abaki kwa Efeso na awakataze wengine wasifundishe mafundisho ya namna nyingine, wala wasiangalie hadizi na maneno ya vizazi pasipo mwisho.

1/ Wakati tunaposoma katika kitabu cha Ufunuo, tunatambua ya kwamba: Ufunuo 2: 1 – 7 inasema:
“Kwa malaika ya kanisa la Efeso, andika;
Maneno haya anayasema yeye anayeshika hizi nyota saba katika mkono wake wa kuume, naye anatembea katikati ya vile vinara saba ya zahabu,

“Kwa malaika ya kanisa la Efeso, andika;

Maneno haya anayasema yeye anayeshika hizi nyota saba katika mkono wake wa kuume, naye anatembea katikati ya vile vinara saba ya zahabu,

Ninajua matendo yako, na taabu yako, na uvumilivu wako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya; tena umejaribu wale wanaojiita mitume, nao hawako, ukawatambua kuwa wawongo;

Tena ulisubiri, na ulikuwa na uvumilivu, na kwa ajili ya jina langu ulijitaabisha, wala hukuchoka.

Lakini nina neno juu yako, kwani umeacha mapendo yako ya kwanza.

Kumbuka toka wapi ulipoanguka, ukatubu, ukafanye matendo ya kwanza.

Lakini kama usipofanya hivi, nitakuja kwako upesi, nitaondoa kinara chako katika pahali pake, usipotubu.

Lakini una neno hili, ya kuwa unachukia matendo ya Wanikolayi, ambayo mimi ninayachukia.

Yeye aliye na sikio, asikie neno ambalo Roho anayaambia makanisa; Yeye anayeshinda nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio katika shamba la Mungu.”

Timoteo aliweza kuongaza kanisa lake vema.

Makanisa hayo saba yalikuwa kweli katika nyakati zilizo pita.

Siyo tu utafsiri wa usomi, lakini yanatupatia mwangaza kuhusu jambo mbalimbali zenye zilitukia katika makanisa hayo.

Mambo yale yanaweza yakatukiye tena katika makanisa kwa siku zitakazokuja. Bali, kwa aya ya 4, Mwenyezi Mungu anasema:

“Lakini nina neno juu yako, kwani umeacha mapendo yako ya kwanza,”

Mufahamu ya kwamba jambo hili latukia kwa muda mfupi lenye halifikii hata miaka mia moja.

Hataivyo anasema kwa aya ya pili:

“...tena umejaribu wale wanaojiita mitume, nao hawako, ukawatambua kuwa wawongo;”

Umewatambua kama ni mitume wa uwongo. Hata kama ni hivyo, kulikuwa tu kungali kitu kimoja kinachokukosea.

Kanisa iliacha upendo wake wa kwanza.

Imetupasa kufanya angalisho tusizani kwamba mapendo haya ni mapendo katikati ya ndugu.

Hii ni kuhusu Mapendo yetu kwa Yesu Kristo.

Mpaka kwa kiwango hiki, matendo yao yalikuwa mazuri kwa mastaajabu, lakini Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu, na Yesu Kristo ni Mungu mwenye wivu.

Mwenyezi Mungu anataka mapendo yetu yawe kwake kwanza, awe kwa nafasi ya kwanza, awe Muheshimiwa Mkuu.

Anapenda kuwa kwa nafasi ya kwanza miyoyoni mwetu.

Eti mwajua nini iliyotukia kwa kanisa lile la Efeso?

Miyoyoni mwao walikuwa wakiteswa humo ndani sababu walijitenga mbali na Kristo. Vitu vingine vilichukua nafasi ya kwanza, mahali Kristo pekee angepashwa miliki.

2/ Tufahamu kwamba jina “Efeso” maana yake “anayependwa”.
Ni jina lenye mtu mugriki alitumia kwa kutambulisha chaguo lake la kwanza. Mushangazo ni kwamba, yeye anayependwa anaachilia mapendo yake ya kwanza.
Ni kweli kwamba wao watabaki daima wenye kuokolewa, hawatapotea, walikuwa wangali na neno, walikuwa tu wakimtumikia Mwenyezi Mungu, bali, hawakuwa tena na

Ni jina lenye mtu mugriki alitumia kwa kutambulisha chaguo lake la kwanza. Mushangazo ni kwamba, yeye anayependwa anaachilia mapendo yake ya kwanza.

Ni kweli kwamba wao watabaki daima wenye kuokolewa, hawatapotea, walikuwa wangali na neno, walikuwa tu wakimtumikia Mwenyezi Mungu, bali, hawakuwa tena na

furaha lenye waliokuwa nalo kwa siku za zamani wakati walipokua wakimtumikia Bwana.

Huduma yao iligeuka kuwa mzigo mzito, kwa kweli kuna matendo yenye walikuwa wakitimiza, lakini mambo mengi ya huduma iligeuka kuwa machungu na mazito kwao, ijapokuwa kwa mwanzo walikuwa wakiyatenda kwa urahisi sana. Walipoteza mapendo yao ya kwanza kwa Yesu Kristo.

3/ Kila mara ninapokumbuka jambo la Efeso kupoteza upendo wake wa kwanza, mafikiri yangu yanakumbuka Yakobo.
Kumbukeni kwamba kwa sababu alikuwa akimpenda Rakeli, ilimupasa kutumika tena muda wa miaka saba ili amuowe.

Kumbukeni kwamba kwa sababu alikuwa akimpenda Rakeli, ilimupasa kutumika tena muda wa miaka saba ili amuowe.

Tukumbuke kwamba kitabu cha Mwanzo 29: 20, kinatuambia ya kwamba: Mwanzo 29: 20

“Yakobo akatumika miaka saba kwa Rakeli; na ilikuwa kwake kama siku chache kwa mapendo ambayo alimpenda nayo.”

Miaka hiyo saba ikawa kama siku chache kwa sababu ya mapendo ambayo alimpenda Rakeli.

Tunaweza tukatumike kweli, bali huduma hiyo yaweza kuwa kama mzigo kwetu kama hairaishishwe na kumbembelezwa na mapendo.

Tunaweza tukashikamane kweli na huduma yetu kwa Bwana, hata kuibana na kuishika kwa mikono miwili, tukiwa kati shida na matatizo kweli bali tukikumbuka kwamba siku moja mambo yetu itarekibishwa, na huduma itakamilishwa, na kweli ni hivyo.

Bali Mwenyezi Mungu hatamani sisi kumutumikia hivyo.

Mwenyezi Mungu anatarajia kwetu huduma iliyo nguvu kweli, na bila shaka, upendo wetu kwake unarahisisha mambo yote.

Mfano wa Timoteo aliyezungukwa na mbwa mwitu wenye kunguruma, tukifahamu kwamba pale Efeso kulikuwa mabishano kuhusu kawaida ya mafundisho, lakini Mtume Paulo aliendelea kumusadikia Timoteo.

Yeye alimuacha Timoteo hapo, na kwa kweli, Timoteo alikuwa akitumikishwa na Mwenyezi Mungu katika kanisa hilo ama katika makanisha yale.

4/ Tukumbuke mapashwa na wajibu wa Timoteo katika miji yale.
Yeye alipashwa kuwaonesha maelekezo, siyo mambo yote, lakini maelekezo ya musingi, sawa: Wasifundishe mafundisho mengine mbalimbali na mafundisho waliopata toka Mtume Paulo, wasijitoe kwa kufundisha hadizi, ambazo kwa mwisho zaleta hadizi bila mwisho.
Neno moja tunayopashwa kushika vichwani mwetu ni kwamba, kwa nyakati ile ilikuwa rahisi kwa matatizo yale yafike kwa sababu, kwa nyakati zile hakukuwa Biblia nzima kama tunayo kwa siku za leo, sawa maandiko ya Agano Jipya.

Yeye alipashwa kuwaonesha maelekezo, siyo mambo yote, lakini maelekezo ya musingi, sawa: Wasifundishe mafundisho mengine mbalimbali na mafundisho waliopata toka Mtume Paulo, wasijitoe kwa kufundisha hadizi, ambazo kwa mwisho zaleta hadizi bila mwisho.

Neno moja tunayopashwa kushika vichwani mwetu ni kwamba, kwa nyakati ile ilikuwa rahisi kwa matatizo yale yafike kwa sababu, kwa nyakati zile hakukuwa Biblia nzima kama tunayo kwa siku za leo, sawa maandiko ya Agano Jipya.

Ilikuwa rahisi kwa watu wa uzushi kupata wale wenye watakao amini mafundisho yao wakitunga hadizi kuhusu Bwana Yesu Kristo. Hadizi zenyi walizotunga kwa mafikiri yao kuhusu ujana wa Bwana Yesu Kristo, na nyingi za hadizi zao zingali hata kwa siku za leo.

Neno hadizi za uzao, ilimaanisha hadizi za aina ya mashetani.

Hadizi izo zilimaanisha hadizi za kizushi, na kweli yote yalikuwa matokeo ya mawazo. Mtu wa inje alitamani kupenya na nia ya kuwapata wale watakao musikiliza anapotunga hadizi za uzushi kuhusu Bwana Yesu Kristo.

Tuone namna mtume Paulo anaita hadizi za namna sawa:

1 Timoteo 4: 7

“Lakini ukatae hadizi za bure na za wanawake wazee. Nawe ujizobeleze katika utawa:”

Yanaitwa hadizi za bure na za wanawake wazee.

Walimu wale wa uwongo, ama manabii wale wa uwongo ni wenye zoezi ya kuunda hadizi za bure wanazozitunga wenyewe na mwisho wanazitupa juu ya watu kwa kuwapoteza.

Na matokeo ya hayo yalikuwa namna gani?

Yalileta maulizo mengi yenye hayawezi kuwa na jibu lolote.

Maulizo yenye yanayotoka ndani ya Neno la Mungu, ni maulizo mazuri, sababu tunakuwa na uwezo wa kuchunguza na kuchipua Maandiko Matakatifu na tutapata jibu kamili.

Bali, wakati tunapotembea inje ya Neno la Mungu, hatuwezi kupata jibu kwa maulizo yetu.

Bali kwa ulizo lote kuhusu neno lolote tukimbilie kuchunguza na kuchipua Neno la Mungu, ili tupate jibu.

Kwa kweli, ni wazi kwamba maulizo yanayotoka katika yale hadizi walizo ziunda, ni maulizo yenye hayawezi kamwe kuwa na jibu, sababu yako inje ya Neno la Mungu.

5/ Kwa kweli, Tito vilevile alikumbwa na misharabaka ya namna ile tusome

Tito 1: 10, 11

“Kwa sababu kuna wengi wasiotii, wenye maneno ya bure na wadanganyifu, zaidi wale wa tohara,

Imepasa kuziba vinywa vyao; wao wanaopindua nyumba nzima, wakifundisha maneno ambayo hayawapasi kwa ajili ya feza chafu.”

Hapa twawapata wale wasiotii, wenye maneno ya bure na wadanganyifu, zaidi wale wa tohara.

Wale waliojiingiza na maneno yasiyo na maana, maneno ya bure, wenye mafundisho isiyo na maana na inayopingana na mafundisho iliyopewa na mtume Paulo.

6/ Kwa aya ya tano, mtume Paulo anakumbusha Timoteo, ya kwamba kiini ya majukumu hayo ni mapendo.
Maelekezo zidi ya wajibu wote yapashwa kuleta mapendo.
Najuwa neno hili lina manufaa mengi kati ya wandugu.

Maelekezo zidi ya wajibu wote yapashwa kuleta mapendo.

Najuwa neno hili lina manufaa mengi kati ya wandugu.

Bali, hadizi zisizo na mwisho na za bure, kama vile aya ya sita inavyo tuambia, yanaleta mabishano, na magonyi, sivyo?

Kila mmoja wenu anapaswa kufahamu kanuni hili.

Mafundisho hayapaswi kuwa na matokeo ya magonvi, mabishano, bali matokeo yake yanapashwa kuwa mapendo.

Kumbukeni wakati tuliwafundisha kuhusu wale wanaoshika sheria, wale waliotajwa ndani ya majifunzo yetu kwa kitabu cha Wagalatia, watu wale wanaokuwa na kazi moja tu ya kuhukumu wenzao.

Hawafurahie mafundisho yao, kwa sababu hayaleti mapendo kwa wengine, bali matokeo yake ni mabishano ya bure, yakitokana kwa wale wenyi lengo tu la kutizama songe la pua la mwengine.

7/ Kanuni ya mafundisho, na mafundisho ya kweli, matokeo yake ni mapendo, hapana magonvi, hapana chuki.
Kama mafundisho yangu ni ya kweli, basi hayawezi kunisukuma kukataa wale wasionisadiki, bali yanapaswa kunisukuma kuwapenda wengine kama walivyo, kuwasaidia na kuwa mtu mzuri kwa macho yao, na kutokuendelea kuchunguza makosa ndani yao daima.

Kama mafundisho yangu ni ya kweli, basi hayawezi kunisukuma kukataa wale wasionisadiki, bali yanapaswa kunisukuma kuwapenda wengine kama walivyo, kuwasaidia na kuwa mtu mzuri kwa macho yao, na kutokuendelea kuchunguza makosa ndani yao daima.

8/ 1 Timoteo 1: 7

“Wakitaka kuwa walimu wa sheria, wasiofahamu ambayo wanayasema, wala maneno yale ambayo wanayasimamia na nguvu.”

Inasemwa hapa kwamba wanatamani kuwa walimu wa sheria.

Kwa kuzania kwangu, si sadiki kama kuna mwalimu mzuri wa sheria, hata mumoja. Sijuwe hata mmoja mwenye kiisha kufundisha sheria hakujikoroga mwenyewe.

Na vilevile wafuasi wake hawakuanguka katika uvuguvugu.

Mwenyezi Mungu hakuinua walimu wa sheria.

Sitambue kwa nini watu hawapendi kujitenga na sheria ijapokuwa Mwenyezi Mungu anatuomba kujitenga na sheria.

Najuwa kweli kuna wengi kati yenu ninyi munaonisikiliza sasa, munaosema na nguvu zote ndani yenu, kwamba ninyi munahitaji sheria, kwamba yawapasa kuwa na sheria. Mukisema ya kwamba munafahamu ya kwamba ni imani pekee inayookowa lakini munahitaji kuwa na sheria.

9/ Ninyi mumeokolewa kweli?
Kwa hivyo mumehesabiwa haki ndani ya Kristo.

Kwa hivyo mumehesabiwa haki ndani ya Kristo.

Sheria si juu yenu tena.

Sheria haikufanywa juu ya mtu mwenye haki, bali juu ya wale wenye kuvunja sheria, wakaidi, wasio tii.

Mufahamu kwamba ni nyinyi pekee, kwa kutaka kwenu mumeshikamana na sheria na kujiweka kama wavunja sheria na wakaidi.

Sheria haiko juu ya mtu wa haki.

Mwenyezi Mungu alitufanya kuwa haki ndani ya Kristo, kwa hivi sheria iliwekwa pembeni hatuna lolote lile twaweza kufanya na sheria.

10/ Tutambue vema maneno yanayotajwa hapa:
Kama wewe wajitambua kuwa mumoja wao basi shikamana na sheria, na ni vema ukumbuke ya kwamba sheria ililetwa ili ifunuwe uwovu wa zambi.
Eti, munaweza kunionesha maandiko yenye inasema kwamba sheria ni mwalimu? Hakuna.
Sheria ni kiongozi, mwalimu mkuu, ndio, kwa kumleta Izraeli kwa Kristo, bali kwetu sisi ni Neema ya Mungu inayotufundisha.

Kama wewe wajitambua kuwa mumoja wao basi shikamana na sheria, na ni vema ukumbuke ya kwamba sheria ililetwa ili ifunuwe uwovu wa zambi.

Eti, munaweza kunionesha maandiko yenye inasema kwamba sheria ni mwalimu? Hakuna.

Sheria ni kiongozi, mwalimu mkuu, ndio, kwa kumleta Izraeli kwa Kristo, bali kwetu sisi ni Neema ya Mungu inayotufundisha.

Tito 2: 11 – 12

“Kwa sababu neema ya Mungu inayoleta wokovu kwa watu wote, imeonekana, Ikitufundisha sisi kukataa ubaya na tamaa za dunia, na kuishi na kiasi kwa haki, na utawa, katika ulimwengu wa sasa,”

12/ Jibu kwa kushika sheria ni Habari Njema ya utukufu wa Mbarikiwa Mungu iliyowekewa akiba kwangu katika imani yangu.
Aya ya kumi na moja yatuonesha wazi kwamba ni:
Habari Njema ya utukufu wa Mungu Mbarikiwa, niliyowekewa akiba.

Aya ya kumi na moja yatuonesha wazi kwamba ni:

Habari Njema ya utukufu wa Mungu Mbarikiwa, niliyowekewa akiba.

Neno Mbarikiwa yaweza kutafsiriwa na neno Mwenye heri na furaha,

Siku moja nilikuwa nikisoma kitabu kilichoandikwa na ndugu G. Campbell Morgan, “Makadirio ya Neno”, na niligundua maana hii na ilinipa shangwe na raha.

“Mungu mwenye heri na furaha tele alitupatia Habari hii Njema ya utukufu.”

13/ Waweza kuwa haufahamu kwa makini sana maana ya neno “Heri na Furaha”
Kuna watu wanaosema: Tunakutakia mwaka mpya wa heri.
Eti wewe ni mtu mwenye heri. Ama mtu yule ni mwenye heri?
Wakati dunia inatumia neno furaha na heri, vichwani mwao kuna wazo lingine, sababu neno “furaha na heri” inamsingi wake toka neno haphazard, nikusema kwamba ni mambo yanayotukia kwa ghafla, kubahatisha bila mpango, nikusema kwamba waweza kufurahi kwa sababu jambo moja nzuri ilitukia katika maisha yako.

Kuna watu wanaosema: Tunakutakia mwaka mpya wa heri.

Eti wewe ni mtu mwenye heri. Ama mtu yule ni mwenye heri?

Wakati dunia inatumia neno furaha na heri, vichwani mwao kuna wazo lingine, sababu neno “furaha na heri” inamsingi wake toka neno haphazard, nikusema kwamba ni mambo yanayotukia kwa ghafla, kubahatisha bila mpango, nikusema kwamba waweza kufurahi kwa sababu jambo moja nzuri ilitukia katika maisha yako.

Inamaanisha kwamba kama unatukiwa na vitu vizuri, wewe ni mwenye heri, na kama ni jambo la huzuni na mbaya, wewe si mwenye heri.

Bali Mtume Paulo hakumwandikia Timoteo akitumia maana yale.

14/ Biblia mara kwa mara inazungumuza kuhusu neno “Heri na Furaha” na mara inamaanisha “Mbarikiwa”, bali kwa kweli maana yake ni Heri na Furaha.
Tufauti ninayopenda kuonesha twaipata katika luga ya Kigriki.
Tujuwe kwamba kuna maneno mawili katika kigriki yenye kuwa na maana tofauti. Na maneno yale mawili tafsiri yao ni “Mbarikiwa” ama “Heri”

Tufauti ninayopenda kuonesha twaipata katika luga ya Kigriki.

Tujuwe kwamba kuna maneno mawili katika kigriki yenye kuwa na maana tofauti. Na maneno yale mawili tafsiri yao ni “Mbarikiwa” ama “Heri”

Ya kwanza ni MUCK – KAR – EE – OS neno hili lilitumiwa na waandishi wagriki kwa kuonesha furaha na heri inayotoka kwa miungu.

Neno lingine waliotumia ni U – DIE – MON, neno lenye waandishi wagriki walitumia kwa kumaanisha heri na furaha ya kibinaadamu.

Mutatambua wazi kwamba neno U – die - mon ni china la neno DIE – MON – E – OWN yenye inaleta jina DEMON katika Kingereza na kwa Swahili ni Shetani/Pepo. Jina Shetani ndilo linalomaanisha Udiemon.

Nikusema kwamba wagriki waliamini kwamba bahati nzuri na utajiri nzuri wa mali unatoka kwa mashetani.

Wakati unatambua mtu akisema mimi/yeye nina/ana bahati, ama ana bahati nzuri, kwa wakati ule wagriki walikuwa wakisadiki kwamba bahati nzuri ama utajiri nzuri wa mali unatoka kwa mashetani.

15/ Heri na raha inatoka kwa Mungu.

1 Timoteo 6: 15

“Kwa maana katika nyakati zake hii itaonyeshwa na yeye mwenyewe, mwenye kubarikiwa na uwezo wote peke yake, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa wabwana;”

Hapa inasema: Yeye Mwenyewe mwenye kubarikiwa na uwezo wote peke yake. Heri wema na furaha ya kweli inatoka kwa Mwenyezi Mungu na ni Yeye anayeyakabizi kwa wale wanaomwamini.

16/ Taifa la Mungu linapashwa ishi ndani ya heri na furaha. Kumbukumbu la Torati 33: 29

“Wewe ni heri,Ee Israeli:

Nani aliye kama wewe, taifa lililookolewa na Bwana,

Ngabo ya kusaidia kwako,

Aliye upanga wa utukufu wako!

Na adui zako watajitiisha chini yako; Nawe utakanyaga pahali pao pa juu.”

Twasoma hapa: Wewe ni heri, Ee Israeli, haya ni masemi ya mwisho ya Musa, mbele ya kupanda kwenda kufa kwa mlima Nebo.

Taifa la Mungu ni la heri na linapashwa kuwa taifa la heri, likimufuata Mungu.

Heri na raha ya kweli si ya dunia hii.

Dunia haitambui kitu kuhusu heri na raha, bali Taifa la Mungu lapashwa kuwa Taifa la heri.

Hapa twaona kwamba Israeli ilikuwa taifa chaguliwa la Mungu na lilipashwa kuwa na heri.

17/ Ni kwa njia gani?
Ni nini chanjo chenyi kitafanya wana wa Israeli wawe taifa la heri?
Tupate mwangaza wa neno hili tunaposoma 

Ni nini chanjo chenyi kitafanya wana wa Israeli wawe taifa la heri?

Tupate mwangaza wa neno hili tunaposoma Waroma 4: 6

“Kama Daudi vile anavyoonyesha heri ya mtu yule ambaye Mungu anamhesabia haki pasipo matendo.”

Hapa mtume Paulo anatumia masemi ya mtu wa Agano la Kale, aliyeishi chini ya sheria, na hapa anaonyesha heri ya mtu ambaye Mungu anamhesabia haki pasipo matendo.

Mutatambua kwamba wana wa Israeli walikuwa na heri sababu heri hiyo waliipata toka ndani ya Mungu.

18/ Luka 11: 28

“Lakini yeye alisema: Afazali heri wale wenye kusikia Neno la Mungu na kulishika.” Hii ni kanuni linaloheshimiwa ndani ya Biblia nzima.

Heri wao wenye kusikia Neno la Mungu na kulishika.

Na neno heri linakuja mara nyingine, na tungelisoma :

Furaha na Raha kwao wenye kusikia Neno la Mungu na kulishika. Twatambua kwamba maana ya neno lile yasemwa wazi.

Tutwae kwa upesi, mfano mwengine:

Ufunuo 1: 3

“Heri anayesoma nao wanaosikia maneno ya unabii huu, na kushika maneno yaliyoandikwa ndani yake; kwa maana wakati ni karibu.”

Sisi ni wenye heri na furaha wakati tunachunguza neno la Mungu kwa makini sana.

Hatuta ponda wakati kwa kuchipua jambo hili, bali kwa kweli ni hivyo.

Mtu mwenye aliyesamehewa zambi, mtu mwenye alifanywa kuwa haki ni mwenye furaha kama akijitambua na kujua hali yake ya sasa.

Mtu mwenye kufanya angalisho na Neno la Mungu, ni mtu wa heri.

19/ Tito 2: 13

“tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mkubwa, Mwokozi wetu Yesu Kristo:”

Tunapata hapa: Tumaini la baraka.

Tumaini la heri na furaha wakati Bwana Yesu ataonekana pale kwa mawingu kwa kutuchukua.

Wakati tunapotazamia tumaini hili la Baraka, kwa njia hii mwenyezi Mungu anatujaza na furaha na raha kila siku. Kwa njia ya Neno lake anatuweka ndani ya furaha. Wakati unapokamata muda kuchunguza Neno la Mungu, unapogundua swali moja nzuri na palepale roho yako inajaa na furaha sana, na raha na amani rohoni na hasa wakati unapoinua mecho yako juu ukitazamia lile tumaini la Baraka, wakati Bwana Yesu atakapoonekana kwa kuja kutuchukua, utasikia raha na amani na furaha, haijali lile unalopitia kama mapito, hata iwe jaribu nzito na misharabaka na majaribu, bali mawazo yako yanafikia kutambua kwamba Bwana Yesu anaweza kutokea kwa saa hiyo hiyo na kukuchukua kwake mbinguni, akikuondoa toka dunia hii ya shida, kweli hii ni jambo la heri, na raha , na furaha.

Ni furaha na raha ya namna sawa ndiyo Mwenyezi Mungu anapenda tufurahi ndani yake, na heri na furaha hii inatoka kwake Mungu mwenyewe.

20/ Kwa aya ya 11,
Mtume Paulo anatamka neno moja lenye hakuna yule aliyeweza kulisema hadi hapo. “kama vile ilivyosemwa katika Habari Njema ya utukufu wa Mungu Mbarikiwa, niliyowekewa akiba.”
Habari Njema niliyowekewa akiba.
Bila mabishano yoyote, Habari Njema hii ya Neema ya Mungu, Siri hii kuu ya Mungu ilipewa kwa Mtume Paulo pekee, haikutolewa kwa mitume wengine.

Mtume Paulo anatamka neno moja lenye hakuna yule aliyeweza kulisema hadi hapo. “kama vile ilivyosemwa katika Habari Njema ya utukufu wa Mungu Mbarikiwa, niliyowekewa akiba.”

Habari Njema niliyowekewa akiba.

Bila mabishano yoyote, Habari Njema hii ya Neema ya Mungu, Siri hii kuu ya Mungu ilipewa kwa Mtume Paulo pekee, haikutolewa kwa mitume wengine.

21/ Nilitaka kuleta nuru kwa masemi ya watu wengine,
Wengi wanasikia tunataja mara kwa mara jina la Mtume Paulo kwa kiasi sana na hata wanafikia kuwaza kwamba sisi tumemuweka mtume Paulo juu sana kwa nafasi inayostahili Kristo.
Bali sivyo;
Hapo tu jana jana haijapita siku nyingi, kulikuwa chama kinachoitwa “Tumrudilie Kristo”, ama “Turudi kwa Kristo”, waliounda chama hii ni wale waliokuwa wanasema kwamba namna tunataja sana Mtume Paulo, jambo lile linatubeba mbali na Kristo. Kwa kweli, jambo hili ni udanganyifu mtupu.
Tunataja mara kwa mara mtume Paulo, sababu Mwenyezi Mungu alimuwekea akiba ya Habari Njema ya kweli iliyo tofauti na inayokuwa kwetu sisi Mataifa wa siku za leo.

Wengi wanasikia tunataja mara kwa mara jina la Mtume Paulo kwa kiasi sana na hata wanafikia kuwaza kwamba sisi tumemuweka mtume Paulo juu sana kwa nafasi inayostahili Kristo.

Bali sivyo;

Hapo tu jana jana haijapita siku nyingi, kulikuwa chama kinachoitwa “Tumrudilie Kristo”, ama “Turudi kwa Kristo”, waliounda chama hii ni wale waliokuwa wanasema kwamba namna tunataja sana Mtume Paulo, jambo lile linatubeba mbali na Kristo. Kwa kweli, jambo hili ni udanganyifu mtupu.

Tunataja mara kwa mara mtume Paulo, sababu Mwenyezi Mungu alimuwekea akiba ya Habari Njema ya kweli iliyo tofauti na inayokuwa kwetu sisi Mataifa wa siku za leo.

22/ Kuna uvuguvugu mwingi kwa wala wenye kusoma Biblia bila kutambua utunzaji wa Mungu, bila kutambua kwamba Biblia nzima siyo yote kwa kanisa.
Ninaamini bila shaka kwamba Biblia nzima ilitolewa kwa maongozi ya Mungu na kuandikwa kwa kanisa, lakini Biblia nzima siyo kwa kanisa.

Ninaamini bila shaka kwamba Biblia nzima ilitolewa kwa maongozi ya Mungu na kuandikwa kwa kanisa, lakini Biblia nzima siyo kwa kanisa.

Maandiko mengine mengi ya Biblia ilikuwa kwa Wayuda, na kuna sehemu la upekee la Biblia lenye linaelekea Kanisa la Yesu Kristo, na ni sehemu ile ambayo Mwenye Mungu alimuangazia mtume Paulo.

AMINA.

N°Ref: 01/21/1962 / 239 - DANGER IN THE CHURCH / 06/31/2022